
Roho wako mwenyezi Amenifanya jinsi nilivyo Pumzi yako, uhai wangu Umefufua mifupa mikavu Uhai umenipa Baba yangu Umetuliza dhoruba Wakati wa mawimbi Moyo wangu na ukuiniue wakati Nafsi yangu ikuhimidi kila saa Egemeo Baba yangu umbali huu Ninashukuru, Mwamba Dunia, mbingu ni mwashahidi Umbali huu ni wewe Bwana wa mabwana
Kwa makubwa madogoumbali umbali huu Ni wewe Bwana wa mabwana Na mengi, machache huu Ni wewe Bwana wa mabwana Ninakuinua, inua aa Umetenda mema, mema Bwana Ni wewe Shamma Wewe ni Jehovah Shamma Ni wewe Jireh Wewe ni Jehovah Jireh Ni wewe wewe Shamma Wewe ni Jehovah Shamma Na bado wazidi kuwa Mungu umekuwa
DMCA CODE : PvNHFxWhzr
Read Original Article Here:
VISIT HERE : p i s e v . c o m
https://pisev.com/godwill-babettes-egemeo-lyrics/
Godwill Babette’s Egemeo Lyrics.For More Article Visit PSIEV
Leave a Reply