Nandy’s Wanibariki Lyrics – PSIEV


Mmmh ooh Baba Niwe pekee wanijua vyema Kwako sitetereki kamwe Wanitenda mema na kunipa heshima Umenifanya nisimame

Na kama nikishikwa na shida Nitakimbilia hekaluni mwako Nitajaza nafsi mbele zako bwana Nitasema yote yanayonishinda

Nilipo mie na wewe upo Nilipo mie na wewe upo Bwana Nilipo mie na wewe upo Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh Haaa aah, sitokuacha milele Haa, wanilinda mie Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh Haaa aah, sitokuacha milele Haa, wanilinda mie Haaa aah, nitakuabudu milele

Hakuna giza tena wala hakuna mashaka Umeivua laana umenivika baraka Moyo wangu wakutamani ewe baba Nafsi yangu yakulilia Umenijaza imani sio haba neno lako nashikilia

Umenishika mkono wako (Asante Asante) Umenivusha magumu (Asante Asante) Umenishika mkono wako (Asante Asante) Umenivusha magumu (Asante Asante)

Nilipo mie na wewe upo Nilipo mie na wewe upo Bwana Nilipo mie na wewe upo Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh Haaa aah, sitokuacha milele Haa, wanilinda mie Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh Haaa aah, sitokuacha milele Haa, wanilinda mie Haaa aah, nitakuabudu milele

Milele milele milele Milele..ooh baba wanibariki mimi Na wabariki na wao

Nandy’s Wanibariki Lyrics.For More Article Visit PSIEV


Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*